482 B
482 B
damu ya fahali
Tazama maelezo ya sura 16:11
kuinyunyiza kwa kidole chake
Alitumia kidole chake kurushia damu
upande wa mbele wa kifuniko cha upatanisho
Aliiweka hiyo damu upande wa juu wa kifuniko. pia aliiweka upande wa pembeni mwa kifuniko uliomwelekea alipoingia eneo la patakatifu pa patakatifu
mbele za kifuniko cha upatanisho
Maana zinazo wezekani ni 1) "chini ya kifuniko cha upatanisho kenye sanduku" au 2) ardhini chini ya mbele ya kifuniko cha upatanisho."