sw_tn/lev/13/07.md

266 B

amejionyesha

Hii hurejea moja kwa moja kwa mtu aliye na ugonjwa wa ngozi.

kuhani atamtangaza kuwa najisi

Yule mtu ambaye watu wengine haiwapasi kumgusa amezungumziwa kana kwamba alikuwa mchafu kimaumbile

ugonjwa wa kuambukiza

Tazama maelezo ya sura 13:3.