sw_tn/lev/06/01.md

503 B

kuvunja amri dhidi ya Yahweh

"aasiye mojawapo ya amri za Mungu"

kujishughulisha na uongo dhidi ya jirani yake kuhusu kitu fulani kilichowekwa amana kwake

Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo tendaji. : "akidanganya kwa jirani yake kuhusu kitu fulani alichomwazimisha yeye

jirani yake

"Jirani yake" humaanisha Mwisraeli yeyote, siyo yeyote aishiye karibu naye.

alichokichukua kwa dhuluma kutoka kwake

Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "bila kurudisha kitu fulani alichokiazima"