sw_tn/lev/04/27.md

319 B

Yahweh amemwamru yeye yasitendwe

Watu wote wa Israeli waliamriwa wasitende dhambi. Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Yahweh aliwaamru watu wasiyatende"

dhambi yake aliyoitenda itakuwa imejulikana kwake

Hili laweza kutmkwa katika mtindo tendaji. : "naye amekuwa na ufahamu juu ya dhambi aliyoitenda.