sw_tn/lev/04/22.md

266 B

Yahweh Mungu wake ameamru yasitendwe

hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Mungu amewaamru watu wasitenda"

Nayo dhambi yake aliyoitenda imefahamisha kwake

hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. ; "kisha naye ameshatambua kwamba katenda dhambi"