sw_tn/lam/03/40.md

401 B

Na tunyanyue mioyo yetu na mikono yetu

Ili kuwa ni utamaduni wa Waisraeli kunyoosha mikono yao wakiomba kwa Mungu.

Tumekosea na kuasi

Maneno "kosea" na "kuasi" yanashiriki maana moja. Pamoja yana hashiria kuwa makosa ni sawa na kuasi dhidi ya Yahweh.

Umejifunika na hasira

Hapa hasira inazungumziwa kama ni vazi Mungu alilo livaa. Kiebrania mara nyingi cha ongelea hisia kama vile ni nguo.