341 B
341 B
Sentesi Unganishi
Shairi lipya laanza
chini ya gongo la hasira ya Yahweh
Ngongo ni fimbo watu waliyo tumia kupiga na kuadhibu mtu.
kutembea kwenye giza kuliko kwenye nuru
Hii ina maanisha kuishi kwenye kuchanganyikiwa pamoja na giza.
amenigeuzia mkono wake dhidi yangu
"amekuwa adui wangu" au "anatumia nguvu yake kunihukumu"