sw_tn/lam/03/01.md

341 B

Sentesi Unganishi

Shairi lipya laanza

chini ya gongo la hasira ya Yahweh

Ngongo ni fimbo watu waliyo tumia kupiga na kuadhibu mtu.

kutembea kwenye giza kuliko kwenye nuru

Hii ina maanisha kuishi kwenye kuchanganyikiwa pamoja na giza.

amenigeuzia mkono wake dhidi yangu

"amekuwa adui wangu" au "anatumia nguvu yake kunihukumu"