sw_tn/lam/02/13.md

405 B

Maelezo ya Jumla

Mwandishi anaanza kwa kusema na Yerusalemu.

Nini naeza kusema ... Yerusalemu?

"Hakuna nacho weza kusema ... Yerusalemu."

binti wa Yerusalemu

Hili ni jina la kishairi la Yerusalemu, ambalo hapa la zungumziwa kama ni mwanamke.

Naweza kufananisha na nini ... Sayuni?

"Hakuna nachoweza kukufananisha nacho ... Sayuni."

Nani anaweza kukuponya?

"Hakuna anaye weza kukuponya"