sw_tn/jud/01/17.md

463 B

Watu hawa

"Hawa wadhihaki"

wanatawaliwa na tamaa za asili

Watu hawa wanazungumziwa kama tamaa zao ni wafalme wanao watawala. "Awaachi kumkosea Mungu kwa kuendelea kufanya maovu wanayo tamani kufanya.

hufuata ... tamaa

Tamaa zisizo za kitauwa za ongelewa kama ni njia ambayo huyo mtu kaifuata.

ni wa kidunia

"wenye dharau wanajiingiza kwenye dhambi ya zinaa"

hawana Roho

Roho Mtakatifu anazungumziwa kama ni kitu ambacho watu wanaweza kumiliki.