sw_tn/jos/24/27.md

282 B

watu

Inawarejelea Waisraeli

jiwe hili litakuwa ushuhuda ....limeyasikia maneno yote

Jiwe ambalo Yoshua aliliweka linasemwa kana kwamba alikuwa ni mtu ambaye alisikia kile kilichosemwa na angekuwa na uwezo wa kushuhudia juu ya kile kilichosemwa.

hamtakiwi

"kama mtafanya"