watu
Inawarejelea Waisraeli
jiwe hili litakuwa ushuhuda ....limeyasikia maneno yote
Jiwe ambalo Yoshua aliliweka linasemwa kana kwamba alikuwa ni mtu ambaye alisikia kile kilichosemwa na angekuwa na uwezo wa kushuhudia juu ya kile kilichosemwa.
hamtakiwi
"kama mtafanya"