404 B
404 B
Watu
inawarejelea Waisraeli
Tutaisikiliza sauti yake
Mahali hapa neno "kuisikiliza" lina maana ya kutii. "Tutatii kila kitu atakachotwambia kufanya"
Aliziweka maagizo na sheria
Kitendo cha kuweka sheria kinasemwa kana kwamba Yoshua aliweka kitu halisi mahali fulani.
kitabu cha sheria za Mungu
Hii inaonekana kuwa ni mwendelezao wa maandishiya Musa
kulisimamisha hapo
"kuliweka hapo"