sw_tn/jos/24/24.md

404 B

Watu

inawarejelea Waisraeli

Tutaisikiliza sauti yake

Mahali hapa neno "kuisikiliza" lina maana ya kutii. "Tutatii kila kitu atakachotwambia kufanya"

Aliziweka maagizo na sheria

Kitendo cha kuweka sheria kinasemwa kana kwamba Yoshua aliweka kitu halisi mahali fulani.

kitabu cha sheria za Mungu

Hii inaonekana kuwa ni mwendelezao wa maandishiya Musa

kulisimamisha hapo

"kuliweka hapo"