379 B
379 B
sisi na baba zetu ..sisi
Watu wanaongea kana kwamba walikuwa pamoja na baba zao kwa wakati huo, na kuongea maneno haya "sis" na "baba zetu"
nyumba ya utumwa
Mahali hapa neno "nyumba" ni lugha ya nahau kurejelea sehemu/mahali pa utumwa wao. "sehemu ambapo sisi tulikuwa watumwa"
mataifa yote ambayo tulipita kati kati yake
"mataifa ambayo sisi tulipita katikati yake"