Maelezo ya jumla
Yoshua anaendelea kunukuu kile ambacho Yahweh alikisema katika kujishughulisha kwake na watu wake
niliwatoa ninyi...niliwatoa baba zenu nje
Yahweh anaendelea kuelezea katika virai hivi viwili ambavyo vinawarejelea waisraeli wote, kwa wakati uliopita na wa sasa.