sw_tn/jos/24/05.md

286 B

Maelezo ya jumla

Yoshua anaendelea kunukuu kile ambacho Yahweh alikisema katika kujishughulisha kwake na watu wake

niliwatoa ninyi...niliwatoa baba zenu nje

Yahweh anaendelea kuelezea katika virai hivi viwili ambavyo vinawarejelea waisraeli wote, kwa wakati uliopita na wa sasa.