sw_tn/jos/22/19.md

506 B

Akani...Zera

majina ya wanaume

Je hakuwa Akani mwana wa Zera aliyeivunja imani kwa vitu vile ambavyo vilikuwa vimetunzwa kwa ajili ya Mungu? Na je ghadhabu ya Mungu haikushuka kwa watu wote wa Israeli?

Maswali haya yametumika kuwakumbusha watu juu ya hukumu kwa ajli ya dhambi zilizopita. Maswali haya yanaweza yakaandikwa kama maelezo. "Akani mwana wa Zera, alitenda dhambi kwa kuchukua vitu vilivyokuwa vimetunzwa kwa ajili ya Mungu. Na kwasababu ya hiyo Mungu aliwaadhibu watu wote wa Israeli."