sw_tn/jos/21/04.md

537 B

Upigaji wa kura

Hii ni njia ya kuchagua ambayo ilikuwa ya kubahatisha yaani bila mpango maalumu ili kuondoa utashi wa viongozi, mara kwa mara ilifanywa kwa wazo kuwa Mungu ataamua matokeo.

Wakohathi

Makuhani hwa katika kundi hili walikuwa ni wazao wa Mwana wa Lawi aliyeitwa Kohathi. Na sehemu yao walikuwa ni wazawa wa Haruni, ambaye ni mjukuu wa Kohathi.

miji kumi na tatu....miji kumi

Hii ni hesabu ya miji

Nusu kabila

Nusu ya kabila kwasababu nusu nyingine ilikuwa imepokea urithi wake kabla ya kuvuka Mto Yordani.