sw_tn/jos/17/14.md

813 B

wazawa wa Yusufu

Inarejelea makabila ya Efraimu na Manase

Kwanini umetupa mgao mmoja wa nchi na sehemu moja kwa ajili ya urithi, kwa kuwa tuko wengi , na kwa muda wote Yahweh umetubaliriki?

Watu wa makabila ya Efraimu na Manase waliuliza swali hili ili kutia mkazo kwamba Yoshua alitakiwa kuwapa sehemu kubwa ya nchi. "Ulitakiwa ungekuwa umetupa sisi sehemu zaidi ya kila mtu...Yahweh ametubariki."

mgao mmoja wa nchi na sehemu moja kwa ajili ya urithi

Virai hivi viwili kwa msingi vina maana moja. Katika kirai cha pili kinahusu juu nchi inayozungumziwa kama urithi ambao watu waliupokea kama mali kudumu.

sehemu

Kipande

watu wengi

Watu wengi kwa namba

"Kama ninyi ni watu wengi katika hesabu

Kwa kuwa ninyi ni watu wengi sana katika hesabu yao.

Refaimu

Hili ni jina kikundi cha watu