510 B
510 B
mzaliwa wa kwanza wa Manase, ambaye alikuwa
"alikuwa ni mzaliwa wa kwanza"
Makiri...Abi Ezeri, Heleki, Asrieli, Shekemu, Heferi, na Shemida
Haya yalikuwa ni majina ya wanaume
Watoto wa Makiri walipewa nchi ya Gileadi na Bashani
Maneno haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Yoshua aliwapa nchi ya Gileadi na Bashani wazawa wa Makiri.
Nchi iliyobaki iligawiwa .... walipewa kwa koo zao
Maelezo haya yaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "Yoshua aliwapa nchi.... na aliwapa kwa kufuata koo zao."