sw_tn/jos/13/14.md

514 B

halikupewa urithi na Musa

Nchi ambayo Musa aliyapa makabila ya Israeli inasemwa kana kwamba ulikuwa ni urithi ambao watu waliupokea kama mali ya kudumu.

Urithi wao ni sadaka za Yahweh

Mwandishi anaongelea juu ya heshima kubwa ambayo Walawi walikuwa nayo ya kumtumikia Yahweh kama makuhani na ya kwamba sadaka zingekuwa urithi wao.

sadaka za Yahweh

"sadaka ambazo watu walizileta kwa Yahweh"

zilitolewa kwa moto

kauli hii inaweza kuelezwa kwa muundo tendaji. "ambazo makuhani walizichoma kwa moto"