sw_tn/jos/11/14.md

386 B

kwa ajili yao wenyewe

Kirai hiki kinarejelea juu ya jeshi la Israeli.

Waliua kila mtu kwa upanga hadi pale walipokufa wote. Hakuna kiumbe hai kilichoachwa hai

Virai hivi viweili vina maana sawa na vinatilia mkazo juu ya uharibifu halisi

Yoshua hakuacha kufanya hata jambo moja

Kauli hii ya kukanusha inatilia mkazo kwamba Yoshua alifanya kili kitu ambacho Yahweh alimwagiza.