sw_tn/jos/11/06.md

481 B

ninawatia hao kwa Waisraeli wakiwa wafu

Yahweh anaiwezesha Israeli kulishinda jeshi la adui na kuwaua wanajeshi wote, na inaongelewa kana kwamba Yahweh ndiye aliyewaua wanajeshi na kisha akawatia kwa Waisraeli. "NItaiwezesha Israeli kuwaua wote katika vita."

Utaivunja vunja miguu ya farasi zao

"kuifanya farasi zao kuwa kilema kwa kuivunja miguu yao." Tendo hili ni la kukata misuli ya nyuma ya miguu ili farasi wasiweze kutembea.

Meromu

Hili ni jina la Mahali/sehemu