sw_tn/jos/11/04.md

316 B

Maelezo ya jumla

Wafalme wa Kanaani wamshambulia Yoshua na taifa la Israeli.

wanajeshi wengi sana, hesabu yao ilikuwa kama mchanga wa pwani

Maneno haya ya kutia chumvi yanatia mkazo kwamba jeshi lilikuwa kubwa lenye watu wengi sana ambalo wafalme hawa walilikusanya.

Meromu

Hili ni jina la sehemu/mahali