sw_tn/jos/07/06.md

851 B

alizirarua nguo zake. Yeye pamoja na wazewe wa Israeli waliweka mavumbi juu ya vichwa vyao na wakainamisha vichwa vyao hadi katika nchi mbele ya sanduku la Yahweh

Walifanya vitu hivi ili kumwonesha Mungu jinsi walivyo na huzunisshwa na kufedheheshwa.

Kutuweka katika mikono ya Waamori ili kutuangamiza?

Yoshua alikuwa anauliza kama hii ni sababu ya Mungu kuwaleta ng'ambo ya Yordani. "Je ulifanya hivi ili kututia katika mikono ya Waamori ili kututeketeza?"

Kutuweka katika mikono ya Waamori ili kutuangamiza?

Katika mikono ya Waamori inawakilisha utawala na mamlaka. Kuwatia Waisraeli katika mikono ya Waamori ni kuwaruhusu Waamori kuwa na mamlaka juu ya Waisraeli na kuwaangamiza.

ikiwa kama tulifanya maamuzi tofauti

Neno "ikiwa kama" linaonesha kuwa haya ni matakwa ambayo bado hayajatokea. "Ninatamani tungefanya maamuzi tofauti."