sw_tn/jos/07/01.md

332 B

vitu vilivyotengwa kwa ajili ya uharibifu

"Vitu ambavyo Mungu alikuwa amevisema lazima vitengwe kwa ajili yake kwa kuviteketeza"

Akani...Karmi... Zabdi...

Haya ni majina ya wanaume.

Hasira ya Yahweh ikawaka

"Hasira" na "kuwaka" yanaonesha uzito, siyo kwamba moto ulikuwapo dhahiri. "Hasira ya Yahweh iliwaka kama moto"