sw_tn/jos/03/14.md

372 B

sanduku la agano

Neno ''sanduku'' hapa linarejelea sanduku ambalo lina mbao za mawe

ukingo wa maji

Inarejelea sehemu ya juu ya maji kama vile ilivyo katika ukingo wa kisima ambapo maji hutiririkia katika sehemu kavu

Yordani hujaa hadi katika kingo zake zote katika kipindi chote cha mavuno

Haya ni maelezo ya msingi na yanakazia yale ambayo Yahweh anayafanya.