sw_tn/jos/03/01.md

218 B

Aliamka

Maana ya neno "alimka'' ina maana ya ''kuinuka"

Shitimu

Ni sehemu katika nchi ya Moabu, maghariibi mwa Mto Yordani mahali ambapo Waisraeli walikuwa wamepiga kambi kabla ya kuingi katika nchi ya Kanaani.