sw_tn/job/41/31.md

548 B

Yeye hukifanya kilindi kichemke kama chungu cha maji ya moto

"wakati anapopita katika ya maji, huacha mchirizo wa alama ukiotoa povu nyuma yake, kama ni chungu cha maji kilichochemka na kutoa povu."

huifanya bahari kama chungu cha lihamu

Hii ina maana kwamba husuka suka bahari kama chupa ya marihamu ambavyo ingeonekana baada ya kutikiswa hasa.

mtu mmoja angedhani kilindi kuwa cheupe.

Hii ina maana kwamba maji yote hupinduliwa juu wakati mamba anapoogelea kwasababu ya ukubwa wake, naye husababisha mchirizo wa alama ukitoa mapovu.