sw_tn/job/38/01.md

554 B

"Huyu ni nani ...... bila maarifa?

Yahweh anatumia swali hili ili kutia mkazo kwamba Ayubu alikuwa ameseam mambo ya kipumbavu. "Umeleta giza.... pasipo ufahamu."

aletaye giza katika mipango

Giza linawakilisha ushari wa kipumbavu.

kwa njia ya maneno bila maarifa?

"kwa kusema maneno lakini pasipokuwa na maarifa"

jifunge kiunoni mwako

"jifunge nguo yako kiuoni" Wanaume wajifunga nguo kuzunguka viunoni mwao, ili kwamba miguu iwe huru katika vita au mashindano.

kama mwanaume

"Kama shujaa"

lazima unijibu

"lazima animbie majibu"