sw_tn/job/27/08.md

999 B

Maana ni nini tumaini la mtu kafiri wakati... wakati Mungu aondoapo uzima wake?

" hakuna tumaini kwa mtu kafiri wakati Mungu... aondoapo roho yake."

wakati Mungu amwondoapo, wakati Mungu aondoapo uzima wake

misemo yote miwili inamaana moja.KTN: "Wakati Mungu anapomkatilia mbali na kuondoa uzima wake" au "wakati Mungu anaposababisha afe"

amwondoapo

"anapomwua" au " aposababisha afe"

aondoapo uzima wake

"anapomwua" au " anapomfanya asiendelee kuishi"

Je Mungu atasikia kilio chake wakati taabu itakapokuja juu yake?

"Mungu hatasikia kilio chake wakati taabu itakapokuja juu yake" au " Wakati taabu itakapokuja juu yake na kulilia msaada, Mungu hatamsikia."

Mungu atasikia kilio chake

"Mungu atamwitikia kilio chake"

Je atamfurahia Mwenyezi na kumwita Mungu katika nyakati zote?

Ayubu anatumia swali hili kusema kuwa mtu kafiri hatamfurahia Mwenyezi na kumwita Mungu katika nyakati zote. au " hatayafurahia matendo ya Mwenyezi na wala hata mwomba Mungu mara kwa mara"