656 B
656 B
Sentensi Unganishi
Ayubu anaendelea kuongea
Maelezo ya Jumla
mistari hii kila mmoja upo katika muundo sambamba ili kusisitiza wazo kuu analotoa Ayubu.
maana Mungu ameufanya moyo wangu dhaifu; mwenyezi amenitaabisha
Hii mistari miwili inamaanisha jambo moja na inasisitiza kuwa Ayubu anamwogopa sana Mungu.
ameufanya moyo wangu dhaifu
mtu ambaye moyo wake ni dhaifu ni yule ambaye tishika au kujaa hofu.KTN " amenifanya niogope"
sikufikishwa mwisho kwa giza
inaweza kumaanisha 1) "giza nene mbele yangu halikufanya ninyamaze" au 2) "siyo giza lilonitupa nje" au "Mungu amenikatilia mbali, wala siyo giza"
Uso wangu
inamaanisha "mimi"