542 B
542 B
Habari za Jumla:
Habari za Jumla: Ayubu anaendelea kuzunguza kwa Mungu.
milima huanguka na kuwa si chochote;
"Kuwa si chochote" ni nahau ikimaanisha kuharibiwa kabisa. Tungo hii inafafanua juu ya neno "anguka" na kusisitiza uharibifu. "milima imetupiliwa mbali"
miamba huhamishwa kutoka mahali pake;
"miamba kuporomoka chini kutoka mahali pake"
Kama hivi, ninyi mnavyoharibu matumaini ya mwanadamu.
"mnaharibu tumaini la mwanadamu kama vile..mavumbi ya ardhi"
matumaini ya mwanadamu.
"vitu ambavyo mwanadamu anvitumainia"