521 B
521 B
jambo lile niliogopalo limenipata; nalo linitialo hofu limenijilia
misemo hii miwili ina maana moja. "kile nikiogopacho sana kimenitokea mimi" au "liniogopeshalo vibaya sana limenijilia kweli.
Mimi sioni raha, sipati utulivu, na sipati pumziko;
Ayubu anaelezea maumivu yake katika misemo mitatu inayotenganishwa. "Nina mashaka sana" au "mimi nimeteseka kihisia na kimwili
badala yake huja taabu
Taabu imezungumziwa kana kwamba lilikuwa jambo ambalo lingeweza kumwijia Ayubu. "badala yake msiba unanitesa mimi"