sw_tn/job/03/25.md

521 B

jambo lile niliogopalo limenipata; nalo linitialo hofu limenijilia

misemo hii miwili ina maana moja. "kile nikiogopacho sana kimenitokea mimi" au "liniogopeshalo vibaya sana limenijilia kweli.

Mimi sioni raha, sipati utulivu, na sipati pumziko;

Ayubu anaelezea maumivu yake katika misemo mitatu inayotenganishwa. "Nina mashaka sana" au "mimi nimeteseka kihisia na kimwili

badala yake huja taabu

Taabu imezungumziwa kana kwamba lilikuwa jambo ambalo lingeweza kumwijia Ayubu. "badala yake msiba unanitesa mimi"