sw_tn/jer/45/01.md

419 B

Taarifa ya jumla:

Tazama: uandishi wa shairi.

Baruki ... Neria

Haya ni majina ya watu.

aliyoambiwa na Yeremia

Baruku aliandika maneno ambayo Yeremia alisema.

Katika mwaka wa nne wa Yehoakimu

"wakati ambao Yehoakimu aliitawala Yuda kwa miaka minne"

alisema

"Yeremia alimwambia Baruku"

umeongeza uchungu katika maumivu yangu

"umenisababishia maumivu makubwa"

Nimechoka kuugua

"nimechoka kulia"