sw_tn/jdg/16/15.md

510 B

Wawezaje kusema, 'Unanipenda', wakati hushiriki siri zako na mimi

Delila anauliza hili swali akiwa na maana ya kuwa kama Samsoni anampenda kwa dhati alipaswa kumwambia siri zake.

alisisitiza kwa bidii ... akamkemea sana

Hapa mwandishi anaonesha ni kwa kiasi gani Delila alimsisitiza Samsoni ili amwambie anachotaka kukifahamu.

na maneno yake

Haya ni maneno aliyosema Samsoni kwa Delila.

alitamani kufa

Hapa mwandishi ametia chunvi kuonesha ni jinsi gani Samsoni alichoshwa na maneno ya Delila.