sw_tn/jdg/15/03.md

481 B

sitakuwa na hatia juu ya Wafilisti wakati nikiwaumiza

Samsoni anafikiri kuwa kwa sababu Wafilisti wamemkosea hivyo hatakuwa na hatia akiwavamia.

Mbweha mia tatu

"mbweha 300"

Mbweha

Mbweha ni wanayama wadogo kama mbwa wenye mikia mirefu wanaokula wanyama wadogo wadogo na ndege.

Kila jozi

Jozi ni vitu viwili. Mfano mbweha wawili au mikia miwili.

Mkia kwa mkia

"kwa mikia yao"

Taa

Ni fimbo ya mbao inayowaka na kutoa mwanga ambayo mara nyingi hutumika usiku.