sw_tn/jdg/04/17.md

593 B

Sisera ... Yabini ... Hazori

Sisera na Yabini haya ni majina ya wanaume bali Hazori hili ni jina la mji.

akakimbia kwa miguu

Hii ina mana ya kuwa alikuwa anatembea kwa miguu na sio kutumia farasi.

Yaeli

Hili ni jinala mwanaume.

Heberi

Hili ni jina la mwanaume.

Mkeni

Huyu ni mmoja ya watu wa Keeni.

nyumba ya Heberi Mkeni

Hapa "nyumba" inawakilisha familia. "familia ya Heberi mkeni"

Akageuka kando

Hii inamaanisha kupumzika katika safari.

Bushuti

Ni shuka kubwa analojifunika mtu ili mwili upate joto wakati wa kulala, hutengenezwa kwa sufu au ngozi ya mnyama.