593 B
593 B
Sisera ... Yabini ... Hazori
Sisera na Yabini haya ni majina ya wanaume bali Hazori hili ni jina la mji.
akakimbia kwa miguu
Hii ina mana ya kuwa alikuwa anatembea kwa miguu na sio kutumia farasi.
Yaeli
Hili ni jinala mwanaume.
Heberi
Hili ni jina la mwanaume.
Mkeni
Huyu ni mmoja ya watu wa Keeni.
nyumba ya Heberi Mkeni
Hapa "nyumba" inawakilisha familia. "familia ya Heberi mkeni"
Akageuka kando
Hii inamaanisha kupumzika katika safari.
Bushuti
Ni shuka kubwa analojifunika mtu ili mwili upate joto wakati wa kulala, hutengenezwa kwa sufu au ngozi ya mnyama.