sw_tn/jdg/04/12.md

468 B

Walipomwambia Sisera

Hapa haijambainisha mtu moja kwa moja. "mtu alipomwambia Sisera"

Sisera

Hili ni jina la mwanaume.

Baraka ... Abinoamu ... mlima wa Tabori

Baraka na Abinoamu ni majina ya mwanaume. Na mlima wa Tabori ni jina la mlima.

Sisera akayaita magari yake yote

"magari" yanawakilisha askari wanaoendesha magari.

magari ya farasi mia tisa

"Magari ya farasi 900"

Haroshethi

Hili ni jina la mahali.

Mto Kishoni.

Hili ni jinala mto.