sw_tn/jas/03/09.md

410 B

Kwa ulimi tuna.

"Tunatumia ndimi zetu kusema maneno ambayo."

Tunawalaani watu.

Kumuomba Mungu awaumize wengine

Ambao wameumbwa katika sura ya Mungu.

"Ambaye Mungu amemfanya katika sura yake."

Kutoka kinywa kilekile inatoka baraka na laana

Maneno yaliyobeba baraka na laana yanatoka katika kinywa cha mtu.

Ndugu zangu.

"Wakristo wenzangu"

Mambo haya hayapaswi kuwa hivyo.

"Hili ni kosa."