sw_tn/jas/02/12.md

420 B

Kwa hiyo zungumzeni na kutii

"hivyo mnatakiwa muongee na kufanya" Yakobo aliwaamuru watu kufanya hivi.

mko karibu kuhukumiwa na sheria ya uhuru.

"Mungu atawahukumu lwa sheria ya uhuru"

Kwa sheria

Mungu atawahukumu kulingana na sheria

Sheria ya uhuru

"Sheia inayotoa uhuru wa kweli"

Huruma hujitukuza juu

"Huruma ni bora kuliko" au "huruma inashinda" Hapa huruma na haki vimezungumwa kama vile ni mtu.