sw_tn/jas/02/08.md

598 B

ninyi mkiitimiza

Neno "ninyi" inamaanisha waamini wa Kiyahudi.

kutimiza sheria ya kifalme

"kutii sheria za Mungu." Mungu alitupa sheria za Musa zilizorekodiwa katika agano la kale.

Utampenda jirani yako kama wewe mwenyewe

Yakobo ananukuu maneno toka kitabu cha mambo ya walawi.

Jirani yako

"watu wote"au "kila mtu"

mwafanya vyema

"mnafanya vyema" au "mnafanya yaliyo sahihi"

Kama mkipendelae

"kutoa huduma ya kipekee" au "kutoa heshima kwa"

kutenda dhambi

"kutenda dhambi" ni kuvunja sheria.

mtahukumiwa kwa shiria kama wavunja sheria.

"mna makosa ya kuvunja sheria"