sw_tn/jas/01/26.md

777 B

kujiona mwenyewe kuwa mtu wa dini

"Anadhani anamuabudu Mungu kwa usahihi

Ulimi wake

Kuudhibiti ulimi wa mtu inamaanisha kudhibiti kauli zake.

udanganyifu

"mjinga" au "kupotosha"

Moyo wake

Hapa moyo inamaanisha imani yake au mtazamo wake.

Dini yake ni bure

"Anamuabudu Mungu bure"

Safi na isiyoharibiwa

Yakobo anaizungumzia dini , namna watu wanavyomuabudu Mungu kama kitu amabacho ni safi na kisichoharibiwa. Hii ni utamaduni wa Kiyahudi kuelezea namna ambavyo kitu kimekubalika na Mungu. "kukubalika kabisa"

mbele za Mungu wetu na Baba

Anaelezewa Mungu.

Yatima

Yatima

Wajane katika mateso yao

Wanawake wanaoteseka kwa sababu waume zao wamefariki.

Kujilinda na ufisadi wa dunia

Kutokubali uovu wa dunia hii ukakusababisha ukatenda dhambi