sw_tn/isa/66/05.md

208 B

Na atukuzwe Yahwe

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Mtukuze Yahwe" au "Na Yahwe ajitukuze mwenyewe"

lakini wataaibishwa

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "lakini nitawatia aibu"