sw_tn/isa/66/01.md

365 B

Mbingu ni kiti changu cha enzi, na dunia ni kigoda cha miguu yangu

Yahwe analinganisha mbingu kwa kiti cha enzi na dunia kwa kigoda cha miguu kusisitiza jinsi alivyo mkuu.

nyumba utakayoijenga kwa ajili yangu iko wapi basi? Sehemu nayoweza kupumzika iko wapi?

Yahwe anatumia maswali kusisitiza ya kuwa wanadamu hawawezi kujenga sehemu kwa ajili yake kuishi.