sw_tn/isa/60/12.md

401 B

Maelezo ya Jumla

Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.

mataifa hayo yataangamizwa kabisa

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Nitaangamiza kabisa watu wa mataifa hayo"

utukufu wa Lebanoni

Hii ina maana ya Lebanoni kuwa maarufu kwa miti yake mizuri, haswa mvinje na seda. Utambuzi hasa wa miti yote haujulikani.

sehemu ya miguu yangu

Hii ina maana ya hekalu la Yahwe.