sw_tn/isa/57/13.md

493 B

Maelezo ya Jumla

Yahwe anaendelea kuzungumza kwa watu wasio waaminifu wa Israeli.

acha kusanyiko lako la sanamu likuokoe

Yahwe anawadhihaki watu na sanamu zao. Anaziambia sanamu kuwaokoa watu ingawa anajua haziwezi.

upepo utaubeba wote mbali, pumzi itazibeba zote mbali

Hii ni kusema jambo moja kwa njia mbili kusisitiza ya kwamba sanamu hazijiwezi na hazina thamani. "upepo, hata pumzi, itazipuliza mbali"

mlima mtakatifu

"Mlima matakatifu" ni Mlima Sayuni, katika Yerusalemu.