676 B
676 B
Maelezo ya Jumla
Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Yerusalemu.
Hakuna silaha ambayo inaundwa dhidi yako itafanikiwa
Maadui kutofanikiwa dhidi ya watu wa Yahwe inazungumziwa kana kwamba silaha zao hazitaweza kufanikiwa dhidi ya watu wa Yahwe. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Maadui wanweza kutengeneza silaha kukushambulia lakini hawatakushinda"
Huu ni urithi wa watumishi wa Yahwe
Dhawabu ambayo Yahwe atawapa wale ambao watamtumikia inazungumziwa kana kwamba dhawabu ilikuwa kitu watakachoweza kurithi.
hili ni tamko la Yahwe
Yahwe anajizungumzia katika utatu. Hii inaweza kuwekwa katika mtu wa kwanza. "hivi ndivyo mimi, Yahwe, navyotamka"