sw_tn/isa/54/15.md

223 B

Maelezo ya Jumla

Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Yerusalemu.

anachokonoa matatizo

Hii ni lahaja. "inasababisha taabu" au "inakutaabisha"

ataanguka katika kushindwa

Hii ni lahaja. "utawashinda katika vita"