sw_tn/isa/54/13.md

641 B

Maelezo ya Jumla

Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Yerusalemu.

Kisha watoto wako wote watafundishwa na Yahwe

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Na Yahwe atawafundisha watoto wako wote"

na Yahwe

Yahwe anajizungumzia mwenyewe katika utatu. Inaweza kuwekwa katika mtu wa kwanza. "kwa mimi, Yahwe"

Katika haki nitakuimarisha tena

Nomino dhahania "haki" inaweza kuwekwa kama kivumishi "sahihi". "Nitasababisha uwe na nguvu tena kw sababu utafanya kile kilicho sahihi"

na hakuna kitu cha kutisha kitakuja karibu nawe

Hii ina maana hakuna mtu katika mji au walio nje wataweza kuwatisha wakazii wa Yerusalemu tena