sw_tn/isa/54/04.md

425 B

Maelezo ya Jumla

Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Yerusalemu.

utasahau aibu ya ujana wako na fedheha ya kutelekezwa kwako

Yahwe kuwaambia watu ambao wapo katika siku za usoni kuwa hata hawatafikiri juu ya aibu waliyopitia pale adui zao walipowashinda inazungumziwa kana kwmba Yahwe alikuwa akimwambia mwanamke ya kwamba hatafikiri tena juu ya aibu aliyopitia kwa kutoweza kupata watoto na mume wake kumtelekeza.