sw_tn/isa/54/02.md

633 B

Maelezo ya Jumla

Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Yerusalemu.

Fanya hema lako kubwa ... imarisha vigingi vyako

Hii inaendeleza sitiari ambayo ilianza katika 54:1. Yahwe kuwaambia watu wa Yerusalemu kuandaa kwa sababu Yahwe ataongeza watu wake inazungumziwa kana kwamba anamwambia mwanamke kufanya hema lake kubwa kutengeneza chumba kwa ajili ya watoto wengi.

Kwa maana utasambaa

Hapa "utatawanyika" ni umoja na ina maana ya mwanamke tasa. Anawakilisha vizazi vyake vyote. "Kwa maana wewe na vizazi vyako mtasambaa kote"

vitatawala mataifa

Hapa "mataifa" yanawakilisha watu. "watawashinda watu w mataifa mengine"