sw_tn/isa/51/11.md

940 B

Maelezo ya Jumla

Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.

Waliokombolewa wa Yahwe

"kukomboa" ina maana ya "kuokoa". Hii ina maana ya watu ambao Yahwe aliwaokoa. "Wale ambao Yahwe aliwaokoa"

kwa furaha milele juu ya vichwa vyao

Hii inatumia kichwa cha mtu kumaansha mtu kwa ukamilifu. "watakuwa na furaha milele"

furaha na shangwe ... huzuni na majonzi

Maneno "shangwe" na "furaha" yana maana moja, kama vile "huzuni" na "majonzi". Kwa pamoja yanasisitiza ukali wa hisia hizi.

furaha na shangwe zitawapita

Hii inazungumzia watu kuzidiwa na furaha na shangwe kwa kuzipatia hisia hizi sifa za binadamu za kuwa na uwezo wa kumpita mtu. "watazidiwa kabisa na shangwe na furaha" au "watakuwa na furaha na shangwe kabisa"

huzuni na maombolezo zitatoweka

Hii inazungumzia watu kutokuw na huzuni na majonzi tena kwa kuzungumza juu ya hisia hizi kana kwamba zinaweza kutoroka. "hawatakuwa na huzuni na maombolezo tena"